Udahili wa mafunzo kada ya sheria

MKUU WA CHUO CHA KOLOWA TECHNICAL TRAINING INSTITUTE (KOTETI) KILICHOPO KATIKA MAJENGO YA KILICHOKUWA CHUO KIKUU CHA SEBASTIAN KOLOWA MEMORIAL UNIVERSITY  (SEKOMU) MAGAMBA LUSHOTO TANGA. Anawatangazia udahili wa mafunzo kada

Ziara ya Askofu Dkt. Mbilu katika taasisi yetu ya KOTETI

Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Dkt. Msafiri Joseph Mbilu amewasihi wanafunzi wanao soma katika Taasisi yetu ya Elimu ya Kolowa Technical Training Institute (KOTETI) kuwa waadilifu katika kazi pindi

Matokeo ya Uhakiki wa Udahili awamu ya pili.

TAARIFA KWA UMMA MATOKEO YA UHAKIKI WA UDAHILI AWAMU YA PILI KWENYE PROGRAMU MBALIMBALI KATIKA           MKUPUO WA SEPTEMBA 2022/2023 Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi